“Wasani wengi wa Filamu wanatokea kwenye Uchangudoa”…Dude

2:55 PM - By Unknown 0

dude
KULWA Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa wasanii wengi wanaojiingiza kwenye tasnia hiyo wanakuwa ni wadada waliokuwa wakijiuza barabarani kama maeneo ya Baa ya Kimboka iliyopo Buguruni, jijini Dar.

Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Dude alisema ameshawahi kukutana na wasanii wengi ambao wanataka kujiingiza kwenye tasnia hiyo na wako tayari kutoa miili yao ili waweze kuonekana kwenye runingani.

“Yaani msanii unakuta ameshapata jina lakini alipotokea mpaka kuibuka kisanii utashangaa kabisa na ndiyo maana hata tabia zao huwa zinafanana kabisa na wale wadada wanaojiuza,” alisema Dude.

Tags:
About the Author

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Pellentesque volutpat volutpat nibh nec posuere. Follow me @Bloggertheme9
View all posts by admin →

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

0 comments:

KABAMBE

© 2014 SWAGGA ZA BONGO. Distributed By MyBloggerThemes | Design By Bloggertheme9
Powered By Blogger.
back to top