NISHA APIGWA STOP KUTOKA NJE…SOMA HAPA

11:09 PM - By Unknown 0

STAA wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amezuiwa kutoka nje kutokana na sheria na taratibu zilizopo ndani ya familia yao nyumbani kwao Zanzibar.

Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, Nisha baada ya kufika nyumbani kwao visiwani Zanzibar, amekuwa hatoki nje kwani nduguze wamemwambia sheria hairuhusu kutokatoka nje bila sababu za msingi.
Nisha alipoulizwa kuhusiana na taarifa hizo, alitiririka:

“Kweli kwetu ni geti kali hakuna kutoka nikishafika huku ni fulu kukaa ndani na kuvaa hijabu mambo ya Dar nayaacha hukohuko hivyo hata sijui kinacho-endelea Dar labda mtu anipigie simu ndiyo napata taarifa,” alisema.
NISHA

Tags:
About the Author

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Pellentesque volutpat volutpat nibh nec posuere. Follow me @Bloggertheme9
View all posts by admin →

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

0 comments:

KABAMBE

© 2014 SWAGGA ZA BONGO. Distributed By MyBloggerThemes | Design By Bloggertheme9
Powered By Blogger.
back to top