
Mwanaume anapaswa kujiamini na kuacha kujiuliza mara mbilimbili ujasiri wako ndo utakaokufanya kumpata mwanamke yeyote umpendae.
3. MSIFIE
2. ENDELEZA MAZUNGUMZO MAREFU;-Mwanaumeunapomfuata mwanamke hakikisha unaanzisha mazungumzo marefu ambayo yatamfanya mwanamke ajielezee na pia tambua mwanamke wanapenda wanaume wenye stori nzuri.
3. MSIFIE
Hakikisha unamsifia mwanamke jinsi alivyovaa,anavyoongea,rangi ya nguo yake kwa kufanya hivyo itamfanya ajisikie mwenye amani mbele yako na atapenda kuwa karibu na ww.
4. AHADI ZA KUMJALI
4. AHADI ZA KUMJALI
Mwanamke ni kiumbe dhaifu hivyo anapenda kuwa anadeka,mwambie kuwa upo kwa ajili yake na kwamba utamjali na pia fanya kitu chochote ili aamini hivyo.
5. USIJITAMBE MBELE YAKE
Mwanamke hapendi mwanaume mwenye kujisifu kuhusu mafanikio yake ya kiuchumi bali hupenda mwanaume yule anayemweka mbele yeye kuliko mali zake
About the Author

0 comments: